Flatnews

NIgeria 0-0 Iran

22:17 Matokeo bado ni Nigeria 0-0 Iran dakika ya 17 ya mechi zimekamilika hapa katika uwanja wa ...


22:17 Matokeo bado ni Nigeria 0-0 Iran dakika ya 17 ya mechi zimekamilika hapa katika uwanja wa Baixada ulioko Curitiba
Timu ya Iran
22:11 Ogenyi Onazi anauguza jeraha
22:07 Ogenyi Onazi ajaribu kufanya mashambulizi katika lango la Iran lakini kipa lireza Haghighianaupangua.
22:06 Nigeria yapata kona ya kwanza inayochukuliwa na Victor Moses
Mashabiki wa Iran kabla ya mechi
22:02 Victor Moses amjaribu kipa wa Iran Haghighi
21:58 Iran ambao ni mabingwa mara tatu barani Asia wanaorodheshwa katika nafasi ya 43 katika orodha ya FIFA.
Nigeria ni mabingwa wa Afrika
21:57 Super Eagles inaorodheshwa ya 44 katika orodha timu bora ya Fifa.
21:56 Mabingwa wa Afrika Super Eagle ya Nigeria wanakabiliana na mabingwa wa Asia Iran
21:55 Timu za Iran na Nigeria zinaingia uwanjani tayari kwa mechi yao ya ufunguzi wa kampeni ya kuwania fainali za kombe la dunia huko Brazil.

Post a Comment

emo-but-icon

item