MSANII MAARUFU ANAEJULIKANA KWAJINA LA JUSTIN BIEBER APATA AJALI
Justin Bieber amepata ajali ya gari jana mchana huko Beverly Hills wakati akiwakwepa mapaparazi waliokuwa wakimfuata
http://samchardtz.blogspot.com/2014/06/msanii-maarufu-anaejulikana-kwajina-la.html
Justin Bieber amepata ajali ya gari jana mchana huko Beverly Hills wakati akiwakwepa mapaparazi waliokuwa wakimfuata
Kwa
mujibu wa mtandao wa TMZ, msanii huyo alikuwa amekaa kwenye kiti cha
abiria kwenye gari aina ya Escalade wakati ajali hiyo inatokea na haraka
alihamishiwa kwenye gari nyingine.Hata hivyo, Hakuna aliyeumia kwenye ajali hiyo.
Picha Za Ajali Hiyo