HABARI PICHA: BUNJU KWA YESU, MLIMA WA MOTO WAFUNGUA TAWI
http://samchardtz.blogspot.com/2014/06/habari-picha-bunju-kwa-yesu-mlima-wa.html
Ilikuwa ni Furaha kwa watu waliojitokeza siku ya jumapili maeneo ya
Bunju B kushuhudia kanisa la Mikocheni B Assemblies of God (MLIMA WA
MOTO) linalosimamiwa na Mheshimiwa Mchungaji Kiongozi, Dkt Gedrude
Pangalile Rwakatale likifungua tawi lake jipya.
Tawi hilo jipya linaitwa MLIMA WA MOTO BUNJU ambapo katika ufunguzi huo
watu mbalimbali walijitokeza pamoja na waimbaji wa nyimbo za injili,
huku pia ufunguzi huo ukienda sambamba na mkutano wa injili ambao
unaendelea kwa wiki nzima.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za matukio zikionyesha jinsi hali ilivyokua
KANISA LA MLIMA WA MOTO BINJU LINAVYOONEKANA KWA NDANI
UPANDE WA KUSIFU ILIKUWA NI NJEMA
![]() | |
| Masanja Mkandamizaji akiwa ameungana na watu wengine kusifu |
![]() |
| Stanley akiwahi kufanya majukumu yake katika sherehe hiyo |
MASANJA MKANDAMIZAJI NAE ALIKUWEPO KATIKA KUIMBA
![]() | |
| Meneja wa Praise Power Radio George Mpela akiteta jambo na masanja |
VIONGOZI MBALIMBALI
![]() |
| Mchungaji kiongozi wa Mikocheni B Dr Getruda Lwakatale (wa tatu toka kushoto) akiwa pamoja na wahubiri wamkutano huo kuoka Burundi (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na muhubiri toka Kenya |
![]() |
| Mchungaji Noel Lukumai akielezea jambo |
![]() | |
| Mchungaji Dr Lwakatale akizungumza na makutano |
SEHEMU YA WATU WALIOJITOKEZA
Hayo ndio baadhi ya matukio katika picha yaliyojiri katika ufunguzi wa
kanisa jipya Mlima wa Moto Bunju,. Endelea kutembelea Gospel Kitaa na
kulike ukurasa wa facebook kwa habari mbalimbali zaidi .





















