Flatnews

Wema Sepetu na kiwaluwalu cha kwenda kwenye tuzo za BET

Madame Wema Sepetu ameonesha kuwa na kiwaluwalu cha safari ya kwenda Marekani kwenye tuzo za BET ambazo mpenzi wake Diamond ni miongoni mw...



Madame Wema Sepetu ameonesha kuwa na kiwaluwalu cha safari ya kwenda Marekani kwenye tuzo za BET ambazo mpenzi wake Diamond ni miongoni mwa wanamusiki kutoka Afrika walioteuliwa kushindania tuzo hizo kwa mwaka 2014, zitakazofanyika tarehe 29 mwezi  ujao.....
Kiwaluwalu hicho amekionyesha hapo jana kupitia ukurasa wake wa  INSTAGRAM...baada ya kuweka picha ya ndungu zake walioko Marekani na kusema amewakumbuka sana ila hivi karibuni wataonana kwani tuzo za BET zimekaribia.

 You two are reeeeeaaaally missed... But BET is jus around da corner... Ama see you guys soon... I love you dada zangu... #myBeautifulSisters#FirstBorn#ThirdBorn#sisterLove#unconditionalLove#PureLove#fromTheHeart������ @tsepetu @ssepetu @nsepetu .... Mmmmh i wonder kwanini na mimi sikuwa @wsepetu.... Tungetisha Sepetuzzzz.... ����
by Wema Sepetu.

Nakuweka picha hii

Sasa kama umemsoma vizuri....hapo ISHUilikuwa BET na sio kumiss watu!!!!! Hahaha watu kwambwembewe

Post a Comment

emo-but-icon

item