Flatnews

Malawi: Tatizo la kiufundi katika zoezi la kupiga kura



Hata hivyo tume ya uchaguzi nchini humo, imetangaza kuwepo kwa matatizo ya kiufundi katika mfumo mzima wa kuhesabu kura hatua inayosababisha kura kuhesabiwa kwa kasi ndogo. Frank Kandu ni mwandishi habari anayeishi mjini Blantyre na Amina Abubakar amezungumza naye na kwanza anaelezea jinsi mambo yalivyo kwa sasa.
Siku mbili baada ya wamalawi kupiga kura bado raia wa nchi hiyo wanasubiri matokeo ya uchaguzi kujua ni nani atakayewaongoza kwa miaka mitano ijayo.

Post a Comment

emo-but-icon

item