SALAMA JABIR AKUTANA USO KWA USO NA MCHEZAJI WA MPIRA WA KIKAPU SHAQ O’NEALL NCHINI MAREKANI
Salama Jabiri akiwa mitaa yake
http://samchardtz.blogspot.com/2014/05/salama-jabir-akutana-uso-kwa-uso-na.html
Mtangazaji
asiyehishiwa na vituko kila kukicha wa kipindi cha Mkasi Tv ‘Salama
Jabir’ au Kistuli ameachia picha za kutosha kwenye ukurasa wake wa
Instagram akiponda raha nchini Marekani sambamba na familia ya mcheza
kikapu wa ‘Oklahoma City Thunder’ Mtanzania Hasheem Thabeet .Akiwa
nchini humo, Mtangazaji huyo ameweza kupata nafasi ya kutokelezea
katika picha ya pamoja na wachezaji maarufu wa mpira wa kikapu akiwemo
‘Shaquille O’neal’ pamoja ‘Carlos Boozer’ AKA CB anayechezea Chicago
Bulls. Unaweza ukatazama picha hapo chini
Salama akiwa na Hasheem Thabeet pamoja mdogo wa mcheza kikapu huyo Barrthabeet wa kwanza kushoto
Hapo sasa, Salama meno 32 yote nje huku akipata uSelfie na mcheza kikapu Shaquille O’neal. Lol!
Barrthabeet, Dully Boy na Salama mitaa fulani hivi.
salama
akiwa na familia ya Hasheem Thabeet kwenye hafla ya kumpongeza dada wa
Hasheem ‘Sasha Thabeet’ kwa kuhitimu masomo yake .



