Flatnews

PUMA WAZINDUA NJUMU MPYA ZITAKAZOVALIWA NA BALOTELLI, FABREGAS KOMBE LA DUNIA


Puma Launch EvoPOWER World Cup Boots with Mario Balotelli, Cesc Fabregas

KAMPUNI ya kutengeneza vifaa vya michezo ya PUMA imezindua viatu vya EvoPOWER kwa ajili ya kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.
Viatu hivyo vimezinduliwa na wachezaji nyota wawili,  Mario Balotelli wa Italia na Cec Fabregas wa Hispania.
Viatu vya Puma
Wachezaji wa Arsenal wakitumia viatu vya Puma katika mazoezi
Daluga za Puma ni moyo mwingine
Jamaa katinga buti za Puma tayari kwa kazi

Post a Comment

emo-but-icon

item