ANGALIA VIDEO YA MAZISHI YA ADAM KUAMBIANA JANA
http://samchardtz.blogspot.com/2014/05/angalia-video-ya-mazishi-ya-adam.html
Mazishi
ya mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Kuambiana yamefanyika
katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar siku ya jana. Kabla ya mazishi
mwili wa marehemu uliagwa na maelfu ya watu pamoja na watu mashuhuri
pamoja na viongozi wa kisiasa nchini katika Viwanja vya Leaders jijini
Dar. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema peponi. AMEN!
