Update za Makontena 9 Yaliyokamatwa: TRA Imetoa Masaa 24 Kwa Mmiliki Wake Kujitokeza,Vinginevyo Watayataifisha
Mkurugenzi wa elimu kwa mlipa kodi kutoka mamlaka ya mapato nchini TRA R i chard Kayombo ametolea ufafanuzi juu ya kukamatwa kwa ...
https://samchardtz.blogspot.com/2015/12/update-za-makontena-9-yaliyokamatwa-tra.html
Kayombo amesema kuwa makontena hayo yamenaswa usiku wa manane kwa msaada wa wasamaria wema waliotoa taarifa za kupakiwa kwa makontena hayo katika bandari kavu ya PMM.
Bwana Kayombo amesema TRA imetoa masaa 24 kwa mmiliki wa makontena hayo kujitokeza, vinginevyo watayafungua na kuyataifisha kama sheria inavyoelekeza