Rais Magufuli Aokoa Tena Milioni 700 za Safari za Vigogo Ulaya
Raisi Magufuli amezuia maafisa 50 waliokuwa wasafiri kwa ajili ya kwenda kushiriki kwenye ziara ya Jumuiya ya Madola.
https://samchardtz.blogspot.com/2015/11/rais-magufuli-aokoa-tena-milioni-700-za.html
Raisi Magufuli amezuia maafisa 50 waliokuwa wasafiri kwa ajili ya kwenda kushiriki kwenye ziara ya Jumuiya ya Madola.
Badala
yake Rais ameruhusu maafisa wanne tu na kuokoa jumla ya sh milioni 700
ambazo zingetumika kulipia posho za safari na kugharamia tiketi za ndege