Flatnews

PICHA ZA DIAMOND PLATNUMZ ALIPOUNGANA NA FAMILIA YAKE SOUTH AFRICA NA KUHUSU NYIMBO MPYA PIA.

seph   0 This Morning got us like... @princess_tiffah Ameandika Diamond.


 0


This Morning got us like... @princess_tiffah Ameandika Diamond.

Akaunti ya Tiffah ipo busy kuonesha maisha yao. “After a long day with my dad…..,” wameandika
Muimbaji  wa Nana aliyeenda nchini humo kwaajili ya maandalizi ya show ya BET Experience Africa, ametumia fursa hiyo kuonana tena na mchumba wake Zari The Bosslady na mwanae, Tiffah.


Instagram, Diamond Platnumz ameonesha picha akiwa na familia hiyo wakizunguka kwenye mitaa ya mji (ambao hakutaja ni upi).

“Out and about today,” ameandika Diamond. 



Na kuhusiana na nyimbo mpya inaonekana yupo karibuni kutoa nyimbo mpya baada yakuweka video fupi akiwa na mwanae nakuandika "Jus decided to dedicate this week to my Beautiful Daughter!! @princess_tiffah before i drop my Next Hit"
Ikimaanisha kuwa ameamua kujitolea wiki hii nzima kwaajili ya mwanae kabla yakuachia nyimbo mpya

Related

ENTERTAINMENT 271474378295027963

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

Hot in weekRecentComments

Recent

Kesi ya Godbless Lema na mkewe kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha yakwama kusikilizwa..

Kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33), imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali. Hatu...

PICHA 18: Style za nywele za baadhi ya mastaa wa muziki Nigeria

              Mastaa wa muziki ni watu ambao wanapenda kwenda na fashion kuanzia mavazi mpaka style za unyoaji. Kwa upande wa mastaa wa Nigeria tumez...

Donald Trump Akataa Kulipwa Mshahara wa Urais

Rais mteule wa Marekani, bilionea Donald Trump amesema hatakubali kupokea mshahara wa urais pindi atakapokuwa madarakani. Trump ameweka msimamo huo jana katika mahojiano maalum na mtangazaji maa...

Jealousy!!! Justine Skye can't stand seeing Wizkid with other girls

As much as we know, Wizkid and Justice Skye are together. Maybe not a great deal. But, at least, there's something going on with the two. To further prove the possibility of the two being deeply in...

Comments

Anonymous:

Hahahaha Safi sana nidhamu ikae Pahala pake

item