Flatnews

JUVENTUS IMEZIBITISHA KUA NA HISTORIA YA KUMTANDIKA REAL MADRID BAADA YA KUICHINJA JANA

JUVENTUS baada ya kutinga fainali ya Uefa Champions League kwa ushindi wa jumla wa magoli 3-2 dhidi ya Real Madrid wali-tweet (pi...


JUVENTUS baada ya kutinga fainali ya Uefa Champions League kwa ushindi wa jumla wa magoli 3-2 dhidi ya Real Madrid wali-tweet (pichani juu) wakionesha
furaha yao kuelekea mechi ya fainali itayochezwa juni 6 mwaka huu uwanja wa  Berlin'Olympiastadion.
Mechi ya kwanza uwanja wa Juventus mjini Turin, Juve waliichapa Real Madrid 2-1 na jana usiku Santiago Bernabeu wametoka sare ya 1-1

Related

SPORTS 5735147961862402263

Post a Comment

emo-but-icon

item