MAKAZI YA MICHAEL JACKSON'NEVERLAND YAINGIA RASMI SOKONI YAUZWA KWA DOLA MILIONI 100
Makazi maarufu ya marehem michael jackson yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza tangu kifo chake.
https://samchardtz.blogspot.com/2015/05/makazi-ya-michael-jacksonneverland.html
Makazi maarufu ya marehem michael jackson yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza tangu kifo chake.
Nyumba hiyo ipo katika maeneo ya santa barbara califofnia,nchini marekani, makazihayo yanauzwa kwa dola za kimarekani milioni 100.
Makazi hayo yanauzwa na kampuni ya sotheby's and hilton & Hylandiliolipa deni alilokua akidaiwa MJ na kuyachukua, Yanaukubwa wa futi za mraba 12.000 na yamo katikati ya maziwa mawili huku nyumba ikiwa na vyumba 8.