Flatnews

GERRARD, LAMPARD; PACHA WANAOHAMISHIA VITA YAO MAREKANI

Viungo wawili wakongwe kabisa wa Ligi Kuu England, watacheza mechi zao za mwisho wikiendi hii.


Viungo wawili wakongwe kabisa wa Ligi Kuu England, watacheza mechi zao za mwisho wikiendi hii.


Lampard akiwa West Ham, Chelsea na Man City na Gerrard akiwa na Liverpool, wamekutana mara 32 katika Ligi Kuu England.

Pia wamewahi kukutana katika mechi mbalimbali za Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya mwaka 2005 hadi 2009.
Wawili hao ni kati ya viungo wa kiwango cha juu kuwahi kutokea England.





Related

SPORTS 828651118136256056

Post a Comment

emo-but-icon

item