As much as we know, Wizkid and Justice Skye are together. Maybe not a great deal. But, at least, there's something going on with the two. To further prove the possibility of the two being deeply in...
Well, the former Miss Anambra lesbian video saga is yet to become history. Folks are still talking about it everywhere. Even popular Nigerian singer, Flavor, took to social media to
make a li...
Baada ya kuongoza list ya washindi wa tuzo za MTVMAMA 2016 zilizotolewa October 22,
2016 jijini Johanesburg Afrika Kusini, Super Star Wizkid ametangazwa kushinda tuzo nyingine ...
Hitmaker wa ‘Aje’ Alikiba amesema Kiki ni kitu ambacho hakipo kwenye menu yake.
Alikuwa akiongea kwenye kipindi cha Clouds 30 kupitia Clouds TV.
Kwanza kwangu mimi hicho kitu hakipo, sijui kusema...
Maandamano nchini Pakistan kuonyesha kero la waumini wa kiisilamu kuhusu Charlie Hebdo
Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji, walioghadhabishwa na uamuzi wa jarida na Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha vibonzo vya mtu wanayedai ni Mtume Mohammad.
Baada ya maombi ya ijumaa, maafisa wa ulinzi walitumia magari yenye majai kuwamwagia maji waandamanaji katika juhudi za kuwatwanya.
Walikuwa wamekusanyika nje ya ubalozi wa Ufaransa mjini Karachi.
Baadhi ya waandamanaji inaarifiwa walikuwa wamebeba bunduki. Watu watatu walijeruhiwa katika maandamano yenyewe.
Mwandishi wa BBC mjini Islamabad amesema idadi ya waandamanaji hao, kwa mujibu wa idadi ya wasisilamu nchini Pakistan, ilikuwa ndogo.
Maandamano kama hayo yameitishwa katika nchi zingine zilizo na idadi kubwa ya waumini wa Kiislamu kama vile Uturuki, Ufilipino,Kuwait, Mauritania na Sudan.
Kesi
ya kumtukana Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, inayomkabili Mbunge
wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless lema na mke wake Neema Lema (33),
imeshindwa kusikilizwa maelezo ya awali.
Hatu...
Rais mteule wa Marekani, bilionea Donald Trump amesema hatakubali kupokea mshahara wa urais pindi atakapokuwa madarakani.
Trump ameweka msimamo huo jana katika mahojiano maalum na mtangazaji maa...
As much as we know, Wizkid and Justice Skye are together. Maybe not a great deal. But, at least, there's something going on with the two. To further prove the possibility of the two being deeply in...