Flatnews

NEYMAR APIGA 4 BRAZIL IKIICHINJA JAPAN


Brazil imeichapa Japan 4-0 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Singapore. Mabao yote manne yamefungwa na Neymar ambaye sasa amefikisha mabao 40 kwa timu yake ya taifa. Wafungaji bora wa Brazil ni: Pele - 77

Ronaldo - 62
Romario - 55
Zico - 48
Neymar - 40
Bebeto - 39

Post a Comment

emo-but-icon

item