WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI PROFESA ANNA TIBAIJUKA AKUTANA NA WADAU WA MJI MPYA WA KIGAMBONI DAR ES SALAAM
https://samchardtz.blogspot.com/2014/08/waziri-wa-ardhi-nyumba-na-maendeleo-ya.html
Waziri Tibaijuka akifunga majadiliano juu ya mradi huo.
Waziri
Tibaijuka akiwa ameshikana mikono na mbunge was Kigamboni Faustine
Ndungulie na baadhi ya madiwani na viongozi wengine kuonyesha maridhiano
namna mradi utakavyotekelezwa.
Kaimu
Mkurugenzi Msaidizi, Usanifu Miji na Uendelezaji Hellenic Mpetuta
akitoa mada namna mji mpya utakavyopangiliwa katika mkutano huo
uliofanyika Chuo Kikuu cha Kivukoni Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wadau wakifuatilia mawasilisho ya mada mbalimbali juu ya mradi huo.
Baadhi
ya wadau wakifuatilia mawasilisho ya mada mbalimbali juu ya mradi huo.
Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com.simu namba
0712-727062)
Wadau wakipata picha ya pamoja na waziri Tibaijuka (katikati) mara baada ya majadiliano juu ya mradi huo.