Flatnews

ENGLAND WAFANIKIWA KUFANYA MAZOEZI KWA MARA YA KWANZA MIAMI KUJIANDA NA MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA ECUADOR


Close control: Frank Lampard and Adam Lallana (right) show off their ball skills

WACHEZAJI wa timu ya taifa ya England hatimaye wameweza kutoka na kufanya mazoezi leo mjini Miami baada ya hali ya hewa kutulia 

Kikosi cha Roy Hodgson kilitarajiwa kufanya mazoezi yao ya kwanza jana jumatatu, lakini dhoruba iliyokuwepo miami aliwafanya wafanye mazoezi kwenye `jimu` badala ya kwenda uwanjani.

Keeping together: Joe Hart (left), Ben Foster (second right) and Fraser Forster (right) warm up
Warming up: Hodgson

Post a Comment

emo-but-icon

item