Ilifikia wakati wasanii wachanga wanaingia studio kufanya wimbo kwa
sauti na miondoka ya Ali Kiba kama ishara ya kumiss kazi za star huyu wa
Bongo Fleva, Kupitia Instagram ya Tunda Man shabiki unafahamishwa kuwa
Wimbo mkubwa utakao teka radio na Tv hivi karibuni ni wa Ali kiba ft
Fallyipupa.