MBUNGE NASSARI ASHIRI UFUNGUZI WA FIFIS PREMIUM BAKERY
https://samchardtz.blogspot.com/2014/05/mbunge-nassari-ashiri-ufunguzi-wa-fifis.html
Mbunge wa Arumeru Mashariki-Chadema, Joshua Nassari alipo jumuika pamoja na wadau wengine katika uzinduzi wa Fifi Premium Bakery jijini Arusha hivi karibuni.
SkyFoods
wazindua mikate, Fifis Premium Bakery, ambayo ilizinduliwa rasimi siku
ya Jumatano Aprili 30, 2014 , katika mgahawa wao wa Fifi Restaurant,
Themi Road, karibu na TANESCO
Shefu mkuu wa Fifis ambaye ni mpishi mzoefu wa muda mrefu kutoka ufaransa Bw. Jerome Pace
Baadhi ya waanzirishi wa mgahawa huu wa Fifi Premium Bakery kutoka kushoto ni Anna, zoe glorious na Princery H glorious
Mbunge wa Arumeru Mashariki-Chadema, Joshua Nassari akijumika pamoja na wananchi wengine katika sherehe za uzinduzi wa Fifi Premium Bakery