DAVID MOYES AZUA BALAA, AMPIGA DOGO MMOJA BAADA YA KUMTUKANA KWA KUPOTEZA KAZI MAN UNITED
https://samchardtz.blogspot.com/2014/05/david-moyes-azua-balaa-ampiga-dogo.html
Inasemekana Moyes alikerwa na kijana
huyo mlevi aliyemtukana kocha huyo baada ya kufukuzwa kazi hivi karibuni
na kumuita 's*** (hatujaona haja ya kutafsiri kimaadili), akimaanisha
hajawahi kushinda kombe, alisema shahidi.
Baada ya maneno hayo vurugu ziliibuka mezani ambapo glasi zote zimeanguka chini.
Mr
Gillibrand, alikula vibao na alichubuka kwenye bega kutokana na ugomvi
huo, lakini hakuhitaji kwenda hospitali kupata matibabu zaidi.
Leo polisi walithibitisha kufungua uchunguzi juu ya tukio hilo na wanatarajia kuongea na kocha huyo wa zamani wa Everton.
Huyu ndiye Mr Gillibrand aliyekula kisago kutoka kwa David Moyes