Flatnews

AUDIO EXCLUSIVE: KOLABO ZINGINE KALI ZA DIAMOND AMBAZO HAZIJATOKA


Diamond nyota yake itaendelea kung'aa na kufanikiwa zaidi baada ya kufanya collabo kali na wasanii wakali Afrika.Hayo yamesemwa na Fella ambae ndie anasimamia
kazi za mziki za msanii huyo mkubwa kwa sasa.
Amesema collabo ambazo hazijatoka Diamond amewashirikisha Mafikizolo kutoka Afrika ya Kusini
Pia amefanya na msanii wa kike kutoka Nigeria ambae nae anarekodi kubwa Duniani kwa sasa Tiwa Savage

  Pia ameshirikiana na Don Jazzy kutoka Nigeria baada ya collabo kali alilofanya na Davido
MSIKILIZE HAPA MKUBWA FEL

Post a Comment

emo-but-icon

item