Flatnews

God News; ALIEKUA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA KWAUJUMLA NDUGU EDWARD LOWASSA NA SUMAYE WAMEIBUKIA BUNGENI LEO.

Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye leo asubuhi wamehudhuria Bung...


Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye leo asubuhi wamehudhuria Bungeni ambapo kimeanza kikao cha kwanza cha mkutano wa tano wa Bunge la 11, mjini Dodoma.

Mawaziri hao wastaafu walioihama CCM na kuhamia CHADEMA walikwenda mjini Dodoma kutoa somo kwa wabunge wa UKAWA jinsi ya kukabiliana na wabunge wa CCM wakiwa ndani ya ukumbi wa Bunge.

Related

NEWS 609548010087743781

Post a Comment

emo-but-icon

item