DAVID BECKHAM ACHORA TATTOO KUKUMBUKA TUKIO HILI LA MANCHESTER UNITED…
Nyota wa zamani wa Manchester United na England, David Beckham leo ameonesha Tattoo mpya kwenye ukurasa wake wa Instagram.
http://samchardtz.blogspot.com/2015/07/david-beckham-achora-tattoo-kukumbuka.html
Nyota wa zamani wa Manchester United na England, David Beckham leo ameonesha Tattoo mpya kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Beckham ameamua kujichora
Tattoo hiyo kama kumbukumbu ya msimu wa 1998-99 ambao Manchester United
ilishinda makombe matatu ‘Treble’.
Mbali na Tattoo hiyo, Beckham amechora namba ’99’ kwenye kidole chake cha mkono wa kushoto.
Kama kuna mtu anataka maelezo ya maamuzi hayo, Beckham ameandika kwamba ’99 ulikuwa mwaka mzuri kwangu”.
Mbali na kushinda ubingwa wa
ligi kuu England mwaka huo, Manchester United ilishinda kombe la FA na
ligi ya mabingwa Ulaya, huku Beckham akicheza mechi 55 na kufunga magoli
9.
Angalia picha chini ambayo David Beckham ame-post Instagram:
