PICHA; Kiongozi wa Team Wema Sepetu DougieMasta Amjibu Ray C..Ampa Michambo ya Haja
Baada ya Ray C Kuwashukia Team Wema Sepetu na Kuwapa Vidonge vyao sasa kubwa la maadui Dogiemasta kutoka Instagram ambae ndio mtari w...
http://samchardtz.blogspot.com/2015/03/picha-kiongozi-wa-team-wema-sepetu.html
Baada
ya Ray C Kuwashukia Team Wema Sepetu na Kuwapa Vidonge vyao sasa kubwa
la maadui Dogiemasta kutoka Instagram ambae ndio mtari wa mbele kumlinda
Wema kwa lolote amefunguka haya hapa chini kuhusu RAY C kupitia
Instagram:
'Halooooo ya kisoda
kinakwangua mpaka karoti...wewe Rayc mala..ya tu utaniambia nini wewe
ndio sina kazi ya kuniingizia pesa ila nina kazi halali ambayo
imesibitishwa na tbs UMBEA NDIO KAZI YANGUb eti unajitia nakugombanisha
na mastaa wenzio hivi wakiitwa mastaa na wewe unatoka staa mla unga
kwani mwenzetu wewe nyoka maana unga anakula nyoka staa teja staa tapeli
staa mwizi wa wanaume za watu hahaha sijawahi kuona haya huo ustaa wako
wa nini Ray c ulikuwa enzi izo now jiite tu rehema maana kwanz upo kama
mpila wa ma..vi shapeless usoless pesaless unamadeni mpaka kwenye macho
yako afu unajitiaa staa...staa hata kwenye red carpet hawakujui..
Acha kubadili mada lipa
pesa za watu tapeli mkubwa wew unamtia wema kwenye mada zako za utapeli
yeye ndo anakuchamba au tutolee shobo zako mbinuko sis...na nyie mbwa
wengine mnajitia namtengenezea wema maadui mnitolee utumbo wenu sijaomba
commnt zenu sawa nyege zenu na miwasho yenu ndo ilowaleta...huyu
mijicho akiamua kumchukia wema ni juu yake ila so long as tunajua tupo
wengi tunaomkubali sasa kama anaonea wanyonge tumkalie kimya Ray c hukoo
kwa mateja wenzenu kwetu wema tu so...hii ni accnt yang yes namtetea
wema ila atakaeleta umbea malalamiko toka kwa so called superstaa vijiko
tunamtililisha vile vile ...nitoleeni unafki wenu hapa wakichambwa
wengine vihere here kucommnt masta nyoko mxiuu wakiwekwa mnao wapenda
mnajitia walokole sasa nihivi leo nitakichambisha mpaka kieleweke pesa
atatoa au atoi hilo ndo jibu....MM NDO DOUGIEMASTA usipanic kabla
sijakupanikisha maana utakimbia mji...halooooo KAOGEEEEEE LAKN HATA
UKIOGAA KWENYE MZIKI ULISHA OZA KITAMBO UKANUKA TUKAKUZIKA NA RIP
TUMEKUPA SO TUMA REQUEST KWA SIR GOD UKAUMBWE UPYA HAHAHA'