Flatnews

VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FULSA YA KUJIAJIRI


Wanyakazi wa Bega kwa Bega Microfinance wakitoa huduma katika maonesho ya wiki ya vijana yanayoendelea mkoani Dodoma.

Wanyakazi wa Bega kwa Bega Microfinance wakitoa huduma katika maonesho ya wiki ya vijana yanayoendelea mkoani Dodoma.
Vijana wametakiwa kuchangamkia fulsa inayopatikana kupitia kampuni ya Godtec na washirika wake. Hayo yamesemwa na Afisa mkuu wa COAFRI Bw Ghai Edward katika wiki ya vijana mkoani Tabora.
Aidha, Kampuni ya Godtec (T) Limited ya jijini Dares salaam kwa kushirikiana na Wizara ya Habari, vijana na Utamaduni na Michezo imewawezesha vijana kufungua na kumiliki makampuni yao kujiajiiri na kuajiri vijana wengine.
Kupitia kampuni hiyo vijana wameunganishwa na kutengeneza makampuni ambayo yanawezeshwa kupata mikopo ya mitaji kwa ajili ya kazi za ujasiriamali.
Kwa upande mwingine ili kijana aweze kupata mkopo dhamana ni hisa za kampuni inayotaka kukopa. Kila kampuni inatakiwa kununua hisa kwenye Bega kwa bega Microfinance Company Limited ndio iweze kupata mkopo.

Post a Comment

emo-but-icon

item