Flatnews

MH.PINDA AFUNGUA MASHINDA YA MIFUGO DODOMA

Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akitazama mapishi ya pilau la kuku  ya Mama Irene mamuya  (kulia) wa  Chako ni Chako Dodoma katika ma...


PG4A8827
Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akitazama mapishi ya pilau la kuku  ya Mama Irene mamuya  (kulia) wa  Chako ni Chako Dodoma katika maonyesho ya wakulima Nanenane yaliyofanyika kwenye uwanja wa Nzuguni Dodoma  Auguast 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)

PG4A8884
Ngombe mwenye kilo 1000  kutoka Mafinga Iringa akipita mbele ya mgeni  rasmi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  katika mashindano ya mifugo yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu kwenye uwanja wa Nzuguni  wa  Nanenane mjini Dodoma August 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)
PG4A8888
Ngombe wakiwa wamejipanga katika maonyesho ya mifugo yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye uwanja wa Nanenane wa Nzuguni uliopo Dodoma August 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A8955
Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akiongozwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus  Kamani kukagua banda la Wizarahiyo katika monyesho ya Wakulima Nanenane kwenye uwanja wa Nzuguni  Dodoma August 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post a Comment

emo-but-icon

item