MAKAMU WA RAIS DK. GHARIB BILAL NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI 2014
http://samchardtz.blogspot.com/2014/08/makamu-wa-rais-dk-gharib-bilal-ndani-ya.html
Mgeni rasmi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014, Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Ghalib Bilal akitoa hotuba.
Makamu
wa Rais wa Tanzania, Mohamed Ghalib Bilal amelipongeza wazo la Tamasha
la Usiku wa Matumaini lililoandaliwa na Kampuni ya Global Publishers,
jana kuwa ni zuri.
Alimpongeza Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo kwa kuandaa tamasha hilo kwani linaunganisha Watanzania wote.