Flatnews

WABUNGE DODOMA WAMFAGILIA FILIKUNJOMBE WASEMA AMEVUNJA REKODI KUPELEKA WAGENI WENGI BUNGENI



Mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe wa nne  kushoto akiwa na wanahabari na viongozi wengine mjini Dodoma


Mbunge Filikunjombe mwenye suti na tai nyekundu katikati akiwa na wageni wake mjini Dodoma
Waziri mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na wageni wa mbuge Filikunjombe


Ujumbe kutoka kwa  mbunge Filikunjombe  ukiwa bungeni
Waziri mkuu Mizengo Pinda akiwa na ugeni wa  mbunge Filikunjombe
Mbunge Filikunjombe kushoto akiteta  jambo na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa bunge
Mbunge   wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akizungumza na timu ya ujumbe wake mjini Dodoma

Post a Comment

emo-but-icon

item