STRESS FREE LIVE FROM SINTAH JLO BLOG & LIVE UNFILTERED COMMENTS!!
EMMANUEL MBASHA AJITOKEZA (PART 2 YA STORY) Emmanuel Mbasha na mkewe
http://samchardtz.blogspot.com/2014/06/stress-free-live-from-sintah-jlo-blog.html
EMMANUEL MBASHA AJITOKEZA (PART 2 YA STORY)
![]() |
Emmanuel Mbasha na mkewe |
Emmanuel
Mbasha, ambaye ni mume wa mwimbaji nguli wa nyimbo za Injili, Flora
Mbasha amejitokeza hadharani na kusema kwamba atakwenda polisi mwenyewe
kujibu tuhuma dhidi yake za kumbaka shemeji yake mwenye umri wa miaka
17.
Faili la tuhuma dhidi
ya Mbasha lilifunguliwa Jumatatu iliyopita katika Kituo cha Polisi
Tabata (Tabata Shule) wakati shemejiye huyo (jina tunalihifadhi),
alipotaarifu kuwa Mbasha alimbaka mara tatu kwa siku mbili tofauti. Kesi
hiyo ilipewa namba TBT/RB/3191/2014 na TBT/IR/1865/2014.
Tangu siku hiyo, polisi imekuwa ikieleza kuwa inamsaka Mbasha bila ya mafanikio lakini mwishoni mwa wiki mtuhumiwa huyo aliongea na gazeti hili na kuelezea upande wake wa tukio hilo na kwamba yuko tayari kujisalimisha ili ukweli ubainike.
“Tuhuma dhidi yangu ni
za kutengeneza,” alisema Mbasha na kufafanua kuwa yote hayo yanatokana
na mgogoro wa kifamilia baina yake na Flora na familia yake ambao
alisema umedumu kwa siku kadhaa.
“Mimi sijabaka na
sijawahi kubaka; sijatenda dhambi yoyote; sijafanya kitu chochote na
kibaya haya mambo yote ni ya kusingiziwa tu. Mungu wangu ni shahidi. Na
kwa kuwa sijafanya hiyo dhambi kama wanavyodai, basi Mungu wangu
atanitetea,” alisema Mbasha ambaye anaonekana zaidi kwenye video ya
wimbo wa Maisha ya Ndoa alioshirikiana na mkewe Flora.
Kabla
ya kufunguliwa kwa faili la tuhuma hizo, msichana huyo alipelekwa
Hospitali ya Rufaa ya Wilaya ya Ilala (Amana) ambako alifunguliwa faili
la matibabu namba 667. Matokeo ya vipimo ambavyo vilifanywa na daktari
kung’amua kama binti huyo aliingiliwa vinaonyesha kuwa kulikuwa na mbegu
utokaji wa mbegu usio wa kawaida (HVD).
Kadhalika binti huyo
alifanyiwa vipimo kuona kama ameambukizwa virusi vya Ukimwi (VVU), pia
kupata ujauzito, lakini matokeo ya awali yalionyesha kuwa yupo salama.
Akiwa nje ya kituo cha
polisi Jumatatu usiku, binti huyo aliliambia gazeti hili kwamba mara ya
kwanza alibakwa mchana Mei 23 na kwamba mtuhumiwa alirudia kitendo
hicho Jumapili Mei 25 usiku ndani ya gari katika eneo la Tabata, ambako
anadai alifanyiwa kitendo hicho mara mbili.
Hata hivyo, Mbasha
alihoji: “Hivi kweli hata kama mimi ni mbakaji, kweli nimbake mtoto wa
kumlea mwenyewe mara tatu, yaani Ijumaa halafu nirudie tena Jumapili?
Hata kama ni kusingiziwa basi tuhuma hizi zimezidi.”
“Huyu binti nimekaa
naye miaka mingi na sijawahi kumfanyia hivyo. Hapo nyumbani kwangu
wamekaa mabinti wengi, wakiwamo shemeji zangu wadogo zake na Flora na
sikuwahi hata kuwagusa, leo hii kwa nini wananifanyia hivi?”
we do the seeking n you do the judging.......
- nditoJune 3, 2014 at 7:34 AMWote wa zinzi tu. Cyo mme wala mke. Tofauti ni kwamba mke yuko smart. M bungee wangu anakula adi kesho akamfungulia na Ile studio na kwenye uzinduzi akawa mgeni rasmi. Na nnamjua tena anavyojua kutoa mijihela kwe izo harambeee sasa.Reply
- AnonymousJune 3, 2014 at 8:07 AMsintah usitake kuniambia hujackia ile clip ya simu alokua anaongea na shemu wake ungeiweka hapa kuongezea mamiiy ndo mwenyewe anaombaga samahani kwa kusimanga lolReply
- Msukule wa SintahJune 3, 2014 at 8:45 AMmaisha ya maigizo yana mwisho mnaumbuka siku hata siku chezeya Yesu wewe? walokole wanafiki usipime endeleeni kujishebedua siri inazidi kujulikana ukatangaze injili gereza la ukonga, siwaelewagi wadada amembaka mdogo wako unasema nimemsamehe khaaa ni ujinga au ni nini?Reply
- AnonymousJune 3, 2014 at 8:54 AMSinta naomba unisaidie hiyo masters ya international relations and diplomacy inapatikana chuo gani Tanzania au hata Afrika Mashariki? plzzzz plzzzz heeeeeeeelpReply
- AnonymousJune 3, 2014 at 10:06 AMFLORA NA MUMEWE,NA HUYO BINTI WOTE MALAYA TU .SASA HILO JINA LA YESU INAWAUMBUAReply
AGE 17 SIO MTOTO UBAKWE MARA TATU??? UMEBAKWA ULIKUWA UNASIKILIZIA UTAMU???
FLORA NAYE ETI NAMPENDA MUME WANGU ASILIMIA 100 . SASA ULIMSHITAKI WA NINI SIMNGEENDELEA KUFANYA WEWE NA MDOGO WAKO( GRUP SEX) LAANA ZA DUNIA HIZI ZINAWAKUMBA ,
NA WEWE FLORA ACHA KUGAWA NJE UMEIVUNJA NDOA YAKO KWA MIKONO YAKO.KICHEUCHEFU KITUPU - AnonymousJune 3, 2014 at 10:17 AMGwajima na Flora wanauhusiano. Na ndio chanzo cha ugomvi na mumewe. Na ndo wamepanga njama ya kumflash mbasha ili wao waendelee kula bata.Reply
- AnonymousJune 3, 2014 at 10:22 AMSinta mbona umeleta habari nusunusu??? Leta yote umu watu waisome mpk mwisho ndo wataelewa kumbe no mchezo mchafu Flora ameupanga kisa tamaa za pesa. FLORA UYO MCHUNGAJI ANA MKEWE WEWE UNATUMIKA TU AKIKUCHOKA ATAKUMWAGA ABEBE MWIMBAJI MWINGINE!!! Muheshimu mume wa ujana wako we mwanamke. Shetani Mkubwa we!Reply
- AnonymousJune 3, 2014 at 11:23 AMMaswali tata!! huyo Mbasha kama hajabaka why anajificha?? Binti km kabakwa mwnye miaka 17 hakuna majirani wala hana cm??toka ijumaa,jmosi na jumapili ndo kasema why?? Flora ni jeuri ya pesa au ni jamaa anamtia wazimu hadi kuhama ndani na kuishi hotel?? kweli hii ni movie na watuambie mtunzi ni nani na wanatufundisha nn ikiwa wao ni walokole??Reply
- AnonymousJune 3, 2014 at 11:30 AMMgogoro katika ndoa ya Mbasha naReply
Florah ulianza kushika kasi mwaka
jana mara baada ya Florah na
Mumewe kuhamia kuanza kusali
kanisani kwa GWAJIMA (ufufuo na
Uzima - kawe) wakitokea kanisa la
MITO YA BARAKA (kariakoo)!
Inasemekana kuwa mara baada ya
kuhamia kanisani hapo kwa mualiko
wa Gwajima (aliwaombe waje kusali
kwake), mchungaji Gwajima
alimfanya florah kama kiongozi wa
Ibada ya SIFA na KUABUDU katika
mikutani yake!! Kama ni mfuatiliaji
wa haya mambo utakumbuka kuwa
mwaka jana Florah alizunguka
Tanzania nzima akiwa na Gwajima
wakifanya mikutano ya Injili!!
Baada ya Muda kidogo Mchungaji
Gwajima alimpeleka Florah London
kwaajili ya masomo kitendo ambacho
inasemekana kilipingwa sana na
mumewe Mbasha! Ikumbukwe kuwa
GWAJIMA haiwezi kupita miezi
miwili pasipo kwenda UK coz
amefungua kanisa kule (GLORY OF
CHRIST - UK)!! So katika kipindi
ambacho florah alikuwa London
walikuwa wanaonana mara nyingi
sana na GWAJIMA...
Baada ya Florah kurudi Tanzania
ndipo akaanza hii ziara ya
kuzunguka mikoani na GWAJIMA..
inasemekana kuwa katika kipindi
hiki ndipo mahusiano ya kindoa kati
ya forah na mumewe yalizorota
zaidi... baada ya ziara kuisha Florah
arirudi nyumbani lakini she wasn't
the same (nisiseme zaidi)! Baada ya
mikwaruzano ya hapa na pale ndipo
Florah akaenda kukaa hotelini na
inasemekana hoteli ilikuwa inalipiwa
na mchungaji GWAJIMA, ikumbukwe
kuwa ni swala la kawaida kwa
Gwajima kuwalipia bills mbalimbali
viongozi wake wa huduma hapo
kanisani kwa mfano anamchngaji
anaitwa MAXMILLIAN MACHUM
amempangishia nyumba ya ghorofa
pale ubungo na wachungaji wake
wote wapatao thelethini
amewanunulia magari!! Lakini hata
hivyo hii hatua yake ya kumpangia
hoteli mke wa mtu ilizua maswali
mengi sana..... - AnonymousJune 3, 2014 at 11:34 AMKESI YA KUBAKA
baada ya mrafaruku kutokea jamaa
akawa dizaini kama amesitisha
mahusiano na shemejiye na hapa
kati alikuwa hakai nyumbni kwa
florah.. lakini inavyoonekana
mchungaji alitishwa sana na mkwara
wa jamaa kuwa atavujisha ushahidi
wa mahusiano yake na mkewe...
binafsi nahisi mipango ikaanza
kusukwa na binti akasetiwa kwa ajili
ya ‘operation tokomeza'!!
Juzi juzi hapa kabla ya tukio
kutokea ndio huyu binti amerudi
kwa florah akijua wazi kabisa dada
take hayupo! Na kama ujuavyo
muonja asali aonji Mara moja, jamaa
kuona mzigo umerudi basi ikabidi
wakumbushie enzi!
Sitaki kumaliza huondo wote lakini
tujiulize maswali haya!!!
1. Hivi kubaka ndio inakuwa hivi?
Ni ijumaa mko nyumbani peke
mnamaliza kula mchana mnakaa
sebuleni mnapiga stori ‘mizuka
inapanda mnaamua kuibanjua amri
ya sita! Kesho yake jumamosi
anakuja mgeni mnakuwa wapole tu,
mnavunga mnaitana shemeji! Alafu
kesho kesho yake jpili mnatengeneza
mazingira ili muondoke peke yenu
wawili! Mnafika mahali fulani
ubungo mnapaki gari mafichoni
mnaanza kuibanjua amri ya sita!
Mnatoka hapo mnaenda kanisani
mnatabasamu kabisa, ibada ikiisha
mnatengeneza tena mazingira ili
muondoke peke yenu! Mnafika
kisehemu chenu mnapaki tena gari
mnabanjuka! Halafu eti
amebakwa???????
Swali la pili la kilujiuliza!
Kwanini huyu binti baada ya tukio
kutokea akawapigia simu bodyguards
wa Gwajima ambao walienda
kumchukua na kurudi nae nyumbani
kwa gwajima??? Alafu eti hawa
bodyguards ndio wanaanza kuwapa
taarifa ndugu za florah!! Kwanini
apige simu kule?? Kwanini
hakuwapigia simu ndugu zake
kwanza?????