Njaa na magonjwa yatishia S-Kusini
http://samchardtz.blogspot.com/2014/06/njaa-na-magonjwa-yatishia-s-kusini.html
Umoja wa Mataifa umeomba mchango wa dola bilioni moja kuwasaidia watu walioathirika na vita Sudan Kusini.
Alieleza kuwa wengi waliokimbia makwao wanaishi kwenye matope kwa sababu msimu wa mvua umeshaanza; malaria imezagaa na kipindupindu kimezuka.
Awali juma hili serikali ya Sudan Kusini na wapiganaji walikubaliana kusitisha vita, lakini siku za nyuma makubaliano kama hayo yalikiukwa haraka.
