Flatnews

MTOTO ATESWA MIAKA MIWILI


merina moi 0ecc9

Mtoto Merina Mathayo (15) amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (Moi) Muhimbili Dar es Salaam, baada ya kuteswa na kujeruhiwa kichwani kwa kipigo maeneo mbalimbali ya mwili na bosi wake kwa miaka miwili..Merina amelazwa Moi baada ya kupewa rufaa na Hospitali ya Mwananyamala alipokuwa amelazwa awali, kutokana na majeraha hayo ambayo yanadaiwa kusababishwa kung'atwa kwa meno na kupigwa kwa vitu mbalimbali mara kwa mara.Akizungumza kwa shida Merina alisema amekuwa katika hali ya mateso tangu mwaka 2012, kwani bosi wake huyo ambaye anamtaja kuwa ni mwanasheria mkazi wa Boko amekuwa na tabia ya kumpiga na vitu mbalimbali akiwa amemvua nguo.

Post a Comment

emo-but-icon

item