MAJANGA : BABA WA KAMBO AMUUNGUZA MWANAYE MIKONO KWASABABU YA KUCHELEWA KURUDI NYUMBANI
http://samchardtz.blogspot.com/2014/06/majanga-baba-wa-kambo-amuunguza-mwanaye.html
Mtoto mmoja wa miaka nane, mkazi wa Mjimwema Songea mkoani
Ruvuma amefanyiwa ukatili wa kutisha na Baba yake wa kambo aitwaye Stan
Nyoni kwa kumchoma moto mikono yake yote miwili kwa kosa la kuchelewa
kurudi nyumbani.Jeshi la polisi mkoani Ruvuma bado linamsaka mtuhumiwa
wa unyama huo,Stan Nyoni ambaye alitoroka baada ya kufanya unyama huo
huku mtoto huyo akiwa amelazawa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa
Ruvuma Songea.
Tukio hilo la kinyama limewafanya
