Ivory Coast vs Colombia
http://samchardtz.blogspot.com/2014/06/ivory-coast-vs-colombia_19.html
19:39 Didier Zakora anautoa nje mpira na unakuwa wa kutupwa kuelekea lango la Ivory Coast.
19:38 Kona kuelekea upande wa Colombia unbadilika na kuwa shambulizi la Colombia .
19:36 Claudio Sanchez anapambana na Yaya Toure kuwania ubinga wa safu ya kati.
19:35 Freekick Kuelekea upande wa Ivory Coast lakini unaenda nje na inakuwa ni golkick!
19:34 Yaya Toure anaanguka lakini Howard webb anasema endelea na mchezo
19:33 Orier anamjaribu kipa wa Colombia Ospina kutoka nje ya eneo baada ya kuona ukuta wao haupishi
19:31 Gutierez anakosa kuunganisha pasi safi sana akiwa amesalia na kipa pekee yake .
19:30 Colombia wanapoteza nafasi ya wazi ya kufunga bao lao la kwanza kutokana na FastBreak
19:29 Colombia 0-0 Ivory Coast 27''
19:28 Zuniga anatoa mpira nje na inakuwa Freekick kulekea Colombia
19:26 Kipa wa Colombia Ospina anawasuta walinzi wake wasiwaruhusu Ivory Coast kushambulia
19:24 Gervinho anajibu shambulizi upande wa Ivory Coast
19:23 Boka ndiye anyeutoa m-pira nje
19:23 KONA kuelekea upande wa Ivory Coast
19:22 Colombia 0-0 Ivory Coast dakika ya 20
19:21 Mashambulizi kuelekea lango la Colombia
19:18 KONA kuelekea upande wa Ivory Coast .Zokora ndiye anayetoa mpira .
19:16 Tiote anamwangusha Cuadrado na inakuwa Freekick kuelekea Ivory Coast.
19:16 Mashambulizi sasa yanaelekea timu ya Ivory Coast
19:15 Gervinho anakula chenga kali sana lakini mpira unatoka nje .
19:13 Yaya Toure ndiye anayeupiga lakini ukuta wa Colombia haupishi
19:12 Freekick kuelekea Colombia
19:12 Kona ya kwanza ya Ivory Coast lakini inazimwa na safuu ya ulinzi ya Colombia
19:00 Mechi imeanza Ivory coast 0-0 Colombia
19:00 Refarii katika mechi hii ya leo ni Howard Webb
18:59 Baada ya kubanduliwa kwa Cameroon matumaini ya bara la Afrika yanategemea matokeo ya leo ya Ivory Coast.
18:58Colombia iliilaza Ugiriki mabao 3-0 katika mechi yao ya kwanza
18:57 Colombia sawa na Ivory Coast ilishinda mechi yake ya kwanza .
18:57 Ivory Coast ndiyo timu ya pekee kutoka Afrika iliyoshinda mechi yao ya kwanza dhidi ya Japan.
18:56 Timu zote zinaingia uwanjani.
18:56Ivory Coast inachuana na Colombia katika mechi yao ya pili ya kundi C
19:36 Claudio Sanchez anapambana na Yaya Toure kuwania ubinga wa safu ya kati.
19:35 Freekick Kuelekea upande wa Ivory Coast lakini unaenda nje na inakuwa ni golkick!

Mashabiki wa Ivory Coast.
19:33 Orier anamjaribu kipa wa Colombia Ospina kutoka nje ya eneo baada ya kuona ukuta wao haupishi
19:31 Gutierez anakosa kuunganisha pasi safi sana akiwa amesalia na kipa pekee yake .
19:30 Colombia wanapoteza nafasi ya wazi ya kufunga bao lao la kwanza kutokana na FastBreak
19:29 Colombia 0-0 Ivory Coast 27''
19:28 Zuniga anatoa mpira nje na inakuwa Freekick kulekea Colombia
19:26 Kipa wa Colombia Ospina anawasuta walinzi wake wasiwaruhusu Ivory Coast kushambulia

Ivory Coast inachuana na Colombia katika mechi yao ya pili ya kundi C
19:23 Boka ndiye anyeutoa m-pira nje
19:23 KONA kuelekea upande wa Ivory Coast
19:22 Colombia 0-0 Ivory Coast dakika ya 20
19:21 Mashambulizi kuelekea lango la Colombia
19:18 KONA kuelekea upande wa Ivory Coast .Zokora ndiye anayetoa mpira .
19:16 Tiote anamwangusha Cuadrado na inakuwa Freekick kuelekea Ivory Coast.
19:16 Mashambulizi sasa yanaelekea timu ya Ivory Coast

Kiungo wa kimataifa Toure anatarajiwa kushamiri katika safu ya kati.
19:13 Yaya Toure ndiye anayeupiga lakini ukuta wa Colombia haupishi
19:12 Freekick kuelekea Colombia
19:12 Kona ya kwanza ya Ivory Coast lakini inazimwa na safuu ya ulinzi ya Colombia
19:00 Mechi imeanza Ivory coast 0-0 Colombia
19:00 Refarii katika mechi hii ya leo ni Howard Webb
18:59 Baada ya kubanduliwa kwa Cameroon matumaini ya bara la Afrika yanategemea matokeo ya leo ya Ivory Coast.
18:58Colombia iliilaza Ugiriki mabao 3-0 katika mechi yao ya kwanza

Drogba atarajiwa kungaa
18:57 Ivory Coast ndiyo timu ya pekee kutoka Afrika iliyoshinda mechi yao ya kwanza dhidi ya Japan.
18:56 Timu zote zinaingia uwanjani.
18:56Ivory Coast inachuana na Colombia katika mechi yao ya pili ya kundi C
