Flatnews

SKYLIGHT BAND WAZIDI KUWAPA RAHA ZISIZO NA KIFANI MASHABIKI WAKE JIJINI DAR, USIKOSE LEO NDANI YA THAI VILLAGE



Sam Mapenzi akiliazisha Taratibuuuuu ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Vijana wa Skylight kwa Taaratibuuu wakiimba kwa hisiaa kali kuwapa burudani mashabiki wao ndani ya kiwanja cha Thai village.
Anaitwa Hashim Donode (mzee wa viduku)akiimba kwa Hisia kaliiiii kabisaaa ndani ya kiwanja cha Thai Village Ijumaaa iliyopita ili kuwapa ile kitu roho inapenda mashabiki wao.
Toka kushoto Digna Mbepera akimpa sapoti ya nguvu kijana machachariiiiii anayejulikana kwa jina la Donode wakati akirusha vocal kaliiiii kwa hisia ndani ya kiwanja cha Thai Village
Wanaume wa shoka wa Skylight Band kutoka kushoto ni Daudi Tumba, Joniko Flower, Sony Masamba, Sam Mapenzi na mpiga gita mahiri Allen Kiso wakitoa burudani la nguvu ndani ya kiwanja cha Thai Village Ijumaa Iliyopita
Acha kabisaaaa usipime kwa mziki wetu huuu mzuriii,Hapo ni Aneth Kushaba mwenye nywele nyekundu akiongoza kikosi chake kutoa burudani za ukweliiiii ndani ya Thai Village.
Mamaaaaa weeeeee umeona viuno nyorotiiiiiii ivoooo?sasa hao ni mashabiki wa Skylight Band wakiyarudi mauno kwa burudani Tamuuuuu zinazotolewa ndani Ya Thai Village kila Ijumaaaaaa.

Post a Comment

emo-but-icon

item