RUGE MTAHABA ATOA UFAFANUZI KUHUSU BIBI BOMBA KUDHALILISHA MABIBI
http://samchardtz.blogspot.com/2014/05/ruge-mtahaba-atoa-ufafanuzi-kuhusu-bibi.html
Mapema
wiki hii zilibuka tuhuma kwamba kipindi cha Bibi Bomba kinachorushwa
katika kituo cha Clouds TV kimekuwa kikidhalilisha akina bibi
wanaoshiriki katika shindano hilo la Bibi Bomba. Ayo TV ilipata nafasi
ya kufanya mahojiano na mkurugenzi wa ufundi na uzalishaji wa Clouds
Media Group Bwana Ruge Mutahaba kuhusiana na tuhuma hizo..
Media Group Bwana Ruge Mutahaba kuhusiana na tuhuma hizo..
