LEO NI KUMBUKUMBU YA MV BUKOBA
http://samchardtz.blogspot.com/2014/05/leo-ni-kumbukumbu-ya-mv-bukoba.html

May 21 1996 Tanzania ilipatwa na msiba mkubwa,mamia ya watu akiwemo Mama yangu mzazi walipoteza maisha kwenye ajali ya #MvBukoba.Mwenyezi Mungu aendelee kuzilaza roho zao mahala pema peponi