KINANA SEPUKA
http://samchardtz.blogspot.com/2014/05/katibu-mkuu-wa-ccm-ndugu-abdulrahman.html

Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amebeba Jogoo aliyepewa
zawadi na wakina mama wa tawi la UWT Puma,Katibu Mkuu alifungua shina la
wakina mama wajasiriamali wanaojishughulisha na kilimo.

Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuvuna viazi vitamu
pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mwenyekiti wa
CCM mkoa wa Singida Mgana Msindai kwenye shamba la mkulima Bernardo
Razalo.

Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa ofisi za CCM
kata ya Ighombwe ambapo aliwahimiza viongozi wa CCM kujenga ofisi zenye
uwezo wa kutoa msaada wa kijamii ikiwa pamoja na elimu za ujasiriamali.

Wasanii wa kikundi cha ngoma wakicheza ngoma ya Peni wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la ofisi za CCM kata ya Ighombwe.

Wasanii wa kwaya kutoka Sepuka wakiburudisha kabla ya kuanza kwa mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Sepuka, Ikungi.

Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Sepuka na
kuwataka kuungana katika kushiriki kuleta maendeleo hasa yale yanayohusu
jamii kama kujenga shule, maabara na zahanati.